KILIMO CHA MATIKITI

Posted by data tz on Thursday, June 23, 2016 2


1. Ekari 1 ya tikiti maji
Kukodi shamba 400,000.00
Mbegu 300,000.00
Kulima 50,000.00
Kupiga haro 40,000.00
Kupanda 40,000.00
Mbolea 100,000.00
Kumwagilia 200,000.00
Kutengeneza visahani - umbali toka mstari hadi mstari mita 2 na umbali kutoka mmea hadi mmea ni mita 2; 40,000.00
Viuatilifu - viuadudu na viuakuvu 230,000.00
Kupalilia (Tikiti maji hukomaa na kuwa tayari kuvuna miezi 2 tangu kupanda) mara 2 100,000.00
Kuvuna 100,000.00
Jumla ya gharama zote 1,600,000.00
Mauzo - eka moja hutoa mashina 4,400 na yanakuwa yameoteshwa mbegu 2 kwa shina. Kila shina lina uwezo wa kutoa tikiti maji 5 na kila moja huuzwa kwa sh. 1,000 bei ya shamba. Kwa hiyo: 1,000x5x1, 000/- = 5,000,000.00 5,000,000.00
Faida 5,000,000.00 - 1,200,000.00 3,400,000.00
Actual Calculation
Mashina 1225 kwa ekari moja
Kila shina lenye miche miwili linatoa wastani wa tikiti 10
Bei ya tikiti ya shambani ni Tshs 1,000/=
So. 1,225 × 10 × 1000 Tshs =
Profit made: 12,250,000.00 – 1,600,000.00 = 10,650,000/=
MSHIU JOHNSON 0764 414476 Email: mshiujohnson@gmail.com
2 Ekari 0.25 biringanya Kulima10,000.00
Mbegu 10,000.00
Kupiga haro 10,000.00
Kupanda 5,000.00
Mbolea 15,000.00
Kumwagilia 30,000.00
Viuatilifu - viuadudu na viuakuvu 30,000.00
Kupalilia 10,000.00
Kuvuna 15,000.00
Jumla ya gharama zote 135,000.00
Mauzo - Hekta moja hutoa tani 1.5 ambazo ni sawasawa na Kilogramu 1,500 za biringanya; na biringanya huuzwa kilo moja TSh. 300.00. Kwa hiyo robo eka (Hekta 1 = Eka 2.47105) itaingiza kipato kama ifuatavyeo: (1,500÷4)x500.00/- = 187,500/- 187,500.00
Faida 187,500.00 - 135,000.00 52,500.00
3 Ekari 0.25 ng'ogwe Kulima10,000.00
Mbegu 10,000.00
Kupiga haro 10,000.00
Kupanda 5,000.00
Mbolea 15,000.00
Kumwagilia 30,000.00
Kupalilia 10,000.00
Kuvuna 15,000.00
Jumla ya gharama zote 105,000.00
Mauzo - Hekta moja hutoa tani 1.5 ambazo ni sawasawa na Kilogramu 1,500 za biringanya; na biringanya huuzwa kilo moja TSh. 300.00. Kwa hiyo robo eka (Hekta 1 = Eka 2.47105) itaingiza kipato kama ifuatavyeo: (1,500÷4)x500.00/- = 187,500/- 187,500.00
Faida 187,500.00 - 135,000.00 82,500.00
Jumla ya gharama zote 1,840,000.00
Jumla ya faida 3,535,000.00
From Johnson Mshiu UDSM

Tagged as:
DataTz Group

Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.

Jiunge Nasi

Jiunge nasi Upokee makala za kuhamasiha moja kwa moja kwenye email yako

Share This Post

Related posts

2 comments:

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();
© 2015-2016 DATA TZ GROUP. WP Theme-junkie converted by Bloggertheme9
Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.
back to top